Ads 468x60px

Pages

Monday, March 28, 2011

GRADUATION YA ACHARYA YAFANA

wanyaruwanda wakionyesha utamaduni wao wa ngoma za asili

Wahitimu wakikata keki yao

mdau einstene steven akipokea nondo...


wahitimu wakifatilia hutuba toka kwa mgeni rasmi

Rais wa TASAA Mh. Hamis Fupi akiwa na Rais wa TASABA Mh. Jumanne Mtambalike pamoja na Mzungumzaji wa TASABA Mh. Aldo Kamugisha katika mahafali ya wanafunzi wa kiTanzania waishio Acharya, pembeni ni bwana George Maembe rafiki wa muda mrefu wa viongozi hao

Monday, March 21, 2011

WANAFUNZI WA ST.GEORGE COLLEGE OF MANAGEMENT WAFANYA STUDY TOUR INDIA..

Wanafunzi wa kozi mbalimbali katika chuo cha St. George, Banaswadi, Bangalore wakiwemo wa Tanzania wanne ambao ni manaibu waziri wa TASABA wa Jamii na Burudani Bwana Jerome na bi Eunice Frankie, beki wetu wa kutumainiwa wa Tasaba Football team bwana Ima Paul na bibie Jescar..., walifanya safari ya kimasomo kutembelea miji mbali mbali India ambako waliweza kujionea vitu vingi, kutalii na kujifunza vitu vingi mno ambavyo wanaweza kwenda vitumia katika maeneo yao ya kazi pindi watakaporudi nyumbani mara baada ya masomo yao.

Walipata tembelea miji ya Pune, Mumbai na Goa wakiwa na walimu wao.
Walipata nafasi adimu za kuona sehemu za vivutioa kama The Mumbai gates, the Taj hotels, Viwanda vya Cocacola, Steel and metal industries na kiwanda cha Bia na maji cha Kingfisher.



Misosi wanasema ilikua ni ya uhakika, miili ama kweli haijengwi kwa mawe


Mara baada ya kutoka kiwanda cha Kingfisher Goa

Raha ya kuwa mwanafunzi sio tu kuhudhuria darasani, na unadhifu wa mwanafunzi nao unaongeza marks kama waonekanavyo mabwana hawa wawili..

Safari haikua ya masomo tu, bali na kuchangamsha akili na kupata uzoefu mpya kama waonekanavyo bwana Jerome na Ima,pia walitaka dhihirishia umma kuwa wao sio mpira wa miguu tu, hata uvuvi wanaujua..

Wakiwa nje ya the Mumbai gate pamoja na wanafunzi wenzao kutoka IvoryCoast na Ethiopia

Walipata bahati ya kutembelea hoteli za taj mahal ambazo ziliwahi shambuliwa na magaidi na sasa zimefanyiwa matengenezo kama ionekanavyo hapa..

Mapozi time, haya dole gumba juuuu....well done bwana mapesa

Wanafunzi wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kugusa ardhi ya Goa

Wakiwa kwenye ma pozi matata wakiwa mapumziko mara baada ya kutembelea mojawapo ya viwanda

Safari zoote zilianzia hapaa,wanafunzi wakiwa na nyuso za furaha wakiwa stendi mara baada ya kuanza safari..



TASABA GRADUATION CEREMONY 2011

TASABA GRADUATION CEREMONY 2011

Well we have waited for so long, now the day is approaching , when All Afircans in Bangalore will come and join us Tanzanians in Bangalore as when we will be celebrating the achievements of our dear brothers and sisters who will be graduating....

The official graduation ceremony will start and later on will be followed with the performances and fashion shows, buffet dinner for everyone and later on we will all get atleast 5 hours to just dance, dance and dance to be happy on this memorable day....



as you can see there will be alot of students who will be awarded on this day...

TASABA GRADUATION CEREMONY 2011



After the Official function and dinner, Dj Noah (spoilt Dj) from Acharya, Dj Prezzo from Mysore and Dj Charlie from Nairobi Kenya will host a clubbin party til 2am (midnyt) ........

You cant find any excuse to miss this special day of our dearly brothers and sister...

Lets all be there to celebrate their achievements.

Thursday, March 17, 2011

TASABA GRADUATION CEREMONY 2011




Ndugu wahitimu wa Tanzania wa mwaka 2011 katika vyuo mbalimbali hapa Bangalore, kufuatia maombi ya baadhi ya wahitimu, tarehe ya mwisho ya kukusanya michango yenu ya Mahafali ya TASABA kwa mwaka 2011, imesogezwa mbele mpaka tarehe 19 april 2011.

Ili kufanikisha shughuli yetu hii, tunaomba ushirikiano wenu wa hali ya juu.

Tukalipie kwa aliye karibu nasi kati ya :

Vince +919731955664 - Kamanahali and Banaswadi
Vivian +919945325306 - Indranagar
Ali +919916377634- Hennur
Abbas +919739440581 - Kumaraswammy
Olaki +919916856778- Koramangala
Uthman +919916492252- TcPallya
Mazin +919886965506- Horamavu
Aldo +919742487082 - Acharya

UONGOZI TASABA

This is for all our young brothers and sisters doing their final P.U.C Exams at the moment



We would like to wish you all, best of luck in your exams..

Do not panic, pray to your God and take the exams so seriously, they will be like your ladder towards reaching the goals of your life...So alongside with the exams wishes, we would like to wish you all a happy n prosperous future!!

Hakuna kulala, Tuko pamoja kimawazo na kwa sala..

ALL THE BEST!!!

UONGOZI TASABA


NB:
baada ya kazi nzito ya exams na kumaliza masomo, tukumbuke kazi huambatana na dawa, tukutane The Country Club tarehe 2 aprili kusherehekea mafanikio yenu katika Tasaba's Graduation Ceremony 2011, ambapo kwa mara ya kwanza katika historia, nanyi mwapata nafasi ya kusherehekea na wenzenu wote wamalizao masomo Bangalore.

KAZI NA DAWA!!

Tuesday, March 15, 2011

TASAA GRADUATION 2011


ACHARYA EAST AFRICAN GRADUATION CEREMONY ORGANIZED BY TASAA .IT LL START MORNING 9;00AM UP TO 1:30PM 2 @ACHARYA COLLEGE CAMPUS IN MBA AUDITORIUM , THEN EVENING SECTION @ THE CLAB MYSO ROAD BANGALORE...ALL THESE FOR ONLY RS 500.....(CHARGES INCLUDE TRANSPORT,LUNCH,DINNER BUFFET,FASHION SHOW ,LIVE PERFORMANCE AND NON STOP MUSIC UP TO 1:30AM) DONT MISS T....

Tuesday, March 8, 2011

TANZIA NA SALAMU ZA RAMBI RAMBI..

UONGOZI WA TASABA, unasikitika kutoa taarifa za msiba wa mama wa aliyekua mwanafunzi mwenzetu huku India ( Mysore ), Mcswiney Lupembe uliotokea siku ya jumamosi tarehe 5 march..

Tunawapa pole wale wote walioguswa na msiba huu na Mungu aifariji familia ya marehemu na kumsaidia vyema aliyekua mwanafunzi mwenzetu Mcswiney kupata faraja na busara katika kipindi hiki kigumu..


Mcswiney (kushoto) akiwa na "pacha" wake Makoko Koshuma...


BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE....

WASHABIKI NAO HAWAKUWA NYUMA SIKU YA FAINALI

Kama kawaida na desturi ya Watanzania walioko Bangalore chini ya Uongozi wa TASABA, waliendeleza desturi ya kujitolea kwa wingi kuja kuishangilia timu ya na kuipa moyo wakati ikicheza fainali za mashindano ya T-CAN....


Mwalimu wa nidhamu wa timu bwana William ( Big Willy ) akiongoza timu yake kushangilia ushindi mara baada ya mikwaju ya penalti kumalizika, ama kweli ilikua ni furaha iliyoje.


Watanzania wakishangilia ushindi, mara baada ya mchezaji wa Cameroon kukosa penalti ya mwisho.

Wa dada kutoka Kamanahali nao hawakuwa nyuma.

Mweka Hazina wa TASABA bwana Vince, ( Mwenye t-shirt nyekundu aliyechuchumaa )akiwa bega kwa bega na timu kama ionekanavyo hapa akifanya kazi ya kugawa maji ya kunywa na dawa za kupunguza maumivu.

Katibu wa TASABA bi Edna akiwa na Dj kutoka Kenya Dj- Charlie pamoja na wadada toka Banaswadi.

Washabiki walikua kila kona ya uwanja

Kocha wetu wa makipa bwana amiri akitoa maelekezo kwa Ustadhi wetu Mpemba namna ya kucheza na penalti..

Watanzania wa Bangalore walikua bega kwa bega na timu yao kuipa moyo kama waonekanavyo hapa wakati wa mapumziko..huku naibu waziri wa burudani bibi Eunice Frankie ( dada mwenye miwani) akiwa makini na idara yake

Benchi la kidedea lilikua makini na kazi yake mwanzo mwisho

Wengine tulitoka kanisani, moja kwa moja kufika uwanjani kwa kutotaka kupitwa na tukio hili la kihistoria.

Mgeni rasmi raisi wa Umoja wa Waafrica Bangalore ( U.A.C.B ) bwana Jimmy akiwa pamoja na rais wa wa Nigeria Bangalore, na Rais wa wa Cameroon Bangalore.

Wa dada nao wakifurahia fainali kwa namna yao ya kipekee.

Kila mtanzania mzalendo siku hiyo ndani ya Bangalore aliacha shughuli zake zote na kuja kushuhudia mechi hii ya kihistoria

Rais mstaafu wa TASABA bwana Baraka Kange ( Mwenye shati la kijani ) akifuatilia kwa umakini pamoja na wa Tanzania wengine

Wa dada kutoka Indranagar nao hawakuwa nyuma kuipa moyo na kuishangilia timu yetu.

MECHI YA FAINALI ZA ( T-CAN ) KATIKA PICHA

Shughuli yetu ya Wa Tanzania - Bangalore kwenda mchukua mwali, ilianzia hapaaaa kwa washambuliaji wetu Freddy na Dullah kuanzisha mechi mnamo saa tisa alasiri

Hiki ndicho kikosi shupavu cha TASABA - Bangalore
( Waliosimama kutoka kushoto ) : Rais wa TASABA Jumanne, Ima, Rapha, Kevoo, Dullah, Mpemba, Mazin, kapteni Freddy, Kocha J.J. Mapesa, kapteni msaidizi Jaffar
( Waliochuchuma, kutoka kushoto ) : Tuma, Kapteni msaidizi # 2 Khalidi Litoto, Ramson, Muddy, Shaah, Junior na Harry..
Waliokosa picha hii : Hamisi, Yonna, Abbas, Uthman na Kainkwa wote kutokana na majeruhi

Washindi wa pili wa mashindano haya Cameroon wakisali dua kabla ya mechi ya fainali

Kikosi cha TASABA kikiimba wimbo wa Taifa lao la Tanzania kwa madaha makubwa

Wachezaji wakipewa huduma ya kwanza na muuguzi wetu wa timu, dada Edna ambaye pia ni katibu wa TASABA
Timu zote mbili zilizoingia fainali zilipiga picha ya pamoja na viongozi wa Umoja wa wa Africa walioko Bangalore ( U.A.C.B) na wasimamizi wa mechi hizo

Mgeni rasmi wa mechi ya fainali ambaye pia ni rais wa Umoja wa wa africa walioko Bangalore bwana Jimmy kutoka Congo akisalimiana na wachezaji wa Cameroon,akiongozwa na Kapteni wa Cameroon bwana Harrison

Mgeni rasmi wa mechi ya fainali ambaye pia ni rais wa Umoja wa wa africa walioko Bangalore bwana Jimmy kutoka Congo akisalimiana na mshambuliaji wetu Junior huku Kapteni Freddy akimtambulisha

Mgeni rasmi wa mechi ya fainali ambaye pia ni rais wa Umoja wa wa africa walioko Bangalore bwana Jimmy kutoka Congo akisalimiana na winga wetu maridadi Kevoo, huku Haryy na Muddy wakimsikilizia

Fair play ilitawala mechi nzima, kuanzia mwanzoni mwa mechi hadi mwisho kama ionekanavyo hapa

Wachezaji (Junior, Muddy, Ima, MAzin na Kevoo ) wakisikiliza maagizo ya mwisho mwisho toka kwa viongozi kabla ya mechi yao

Golikipa wetu mahiri wa akiba ambaye Ustadhi Mpemba akitafakari mambo huku wachezaji wengine wakita wakipasha kabla ya mechi

Wa cameroon wakipasha viungo vyao kwa ngoma zao maridadi kabla ya mechi

Ama kweli walikua ni watu waliojishibia na wenye miili yao, timu yetu kweli yastahili pongezi

Wa Cameroon wakivaa tayari kwa mechi yao mara baada ya kuwasili uwanjani