Iran imepanga kufungua kesi Fifa kupinga uamuzi wa timu yao ya wanawake kunyimwa kucheza mchezo wao dhidhi ya Jordan na timu yao pinzani Jordan kupewa ushindi wa goli 3 - 0 mara baada ya Iran kunyimwa kuingia uwanjani kutoka na jezi zao zenye kufunika mwili mzima na zenye Hijab kichwani




Wachezaji wa Iran wakiwa mazoezini....soka linaendelea kama kawaida
No comments:
Post a Comment