Uzuri wa mchezo huu wa kikapu, hukutanisha watu mbali mbali wakiwemo ma celebrity wa ukweli, na huwa na pamba za kufa mtu sio tu kwa washabiki, bali hata wachezaji wenyewe..

Mwanamuziki Justin Bieber

Mwigizaji Gabrielle

Rapa Lil Wayne

Dallas General Manager naye alikua anaonyesha kuwa yeye sio tu meneja bali anaujua vilivyo mpira wa kikapu...

Jason Kidd akiingia uwanjani

Wade na Lebron wakiingia uwanjani

Chris Bosh akiingia uwanjani

Jj Barea akiingia

Shawn Marion wa Dallas
Tungojee tu hiyo jumatatu kwa Game 6
No comments:
Post a Comment