Ads 468x60px

Pages

Saturday, February 27, 2010

TANGAZO LA GRADUATION.

Uongozi wa serikali ya wanafunzi wa kiTanzania waishio Bangalore TASABA unawatangazia waTanzania wote wanaotegemea kumaliza kozi zao mwaka huu kuwasilisha majina yao na namba zao za simu kwa viongozi wa maeneo yao.
Viongozi wa maeneo mnaombwa muwasilishe majina hayo kwa muheshimiwa Rais haraka iwezekanavyo.Vilevile mmeombwa kuwa tayari kwa ajili ya shughuli hii kubwa wakati tunajiandaa kuandaa kikao kati ya viongozi na wanafunzi wanaomaliza ili kufanikisha jambo hili.
TASABA SPOKESMAN,
JUMANNE MTAMBALIKE.

How Africa is Becoming the New Asia

China and India get all the headlines for their economic prowess, but there's another global growth story that is easily overlooked: Africa. In 2007 and 2008, southern Africa, the Great Lakes region of Kenya, Tanzania, and Uganda, and even the drought-stricken Horn of Africa had GDP growth rates on par with Asia's two powerhouses. Last year, in the depths of global recession, the continent clocked almost 2 percent growth, roughly equal to the rates in the Middle East, and outperforming everywhere else but India and China. This year and in 2011, Africa will grow by 4.8 percent—the highest rate of growth outside Asia, and higher than even the oft-buzzed-about economies of Brazil, Russia, Mexico, and Eastern Europe, according to newly revised IMF estimates. In fact, on a per capital basis, Africans are already richer than Indians, and a dozen African states have higher gross national income per capital than China.
SUBSCRIBE Click Here to subscribe to NEWSWEEK and save up to 77% >>

More surprising is that much of this growth is driven not by the sale of raw materials, like oil or diamonds, but by a burgeoning domestic market, the largest outside India and China. In the last four years, the surge in private consumption of goods and services has accounted for two thirds of Africa's GDP growth. The rapidly emerging African middle class could number as many as 300 million, out of a total population of 1 billion, according to development expert Vijay Majahan, author of the 2009 book Africa Rising. While few of them have the kind of disposable income found in Asia and the West, these accountants, teachers, maids, taxi drivers, even roadside street vendors, are driving up demand for goods and services like cell phones, bank accounts, upmarket foodstuffs, and real estate. In fact, in Africa's 10 largest economies, the service sector makes up 40 percent of GDP, not too far from India's 53 percent. "The new Africa story is consumption," says Graham Thomas, head of principal investment at Standard Bank Group, which operates in 17 African countries.

Much of the boom in this new consumer class can be attributed to outside forces: evolving trade patterns, particularly from increased demand coming out of China, and technological innovation abroad that spurs local productivity and growth like the multibillion-dollar fiber-optic lines that are being laid out between Africa and the developed world. Other changes are domestic and deliberate. Despite Africa's well-founded reputation for corruption and poor governance, a substantial chunk of the continent has quietly experienced this economic renaissance by dint of its virtually unprecedented political stability. Spurred by eager investors, governments have steadily deregulated industries and developed infrastructure. As a result, countries such as Kenya and Botswana now boast privately owned world-class hospitals, charter schools, and toll roads that are actually safe to drive on. A study by a World Bank program, the Africa Infrastructure Country Diagnostic, found that improvements in Africa's telecom infrastructure have contributed as much as 1 percent to per capital GDP growth, a bigger role than changes in monetary or fiscal policies. Shares of stocks in recently privatized local airlines, freight companies, and telecoms have skyrocketed.

Entrepreneurship has increased at the same time, powered in part by the influx of returning skilled workers. Just as waves of expats returned to China and India in the 1990s to start businesses that in turn attracted more outside talent and capital, there are now signs that an entrepreneurial African diaspora will help transform the continent. While brain drain is still a chronic problem in countries such as Burundi and Malawi—some of the poorest in the world on a per capita basis—Africa's most robust economies, such as those in Ghana, Botswana, and South Africa, are beginning to see an unprecedented brain gain. According to some reports, roughly 10,000 skilled professionals have returned to Nigeria in the last year, and the number of educated Angolans seeking jobs back home has spiked 10-fold, to 1,000, in the last five years. Bart Nnaji gave up a tenured professorship at the University of Pittsburgh to move back to Nigeria in 2005 and run Geometric Power, the first private power company in sub-Saharan Africa. Its $400 million, 188-megawatt power plant will come online this fall as the sole provider of electricity for Aba, a city of 2 million in southeast Nigeria. Afam Onyema, a 30-year-old graduate of Harvard and Stanford Law, turned down six-figure offers in corporate law to build and run a $50 million state-of-the-art private hospital with a charitable component for the poor in southeast Nigeria.

Many experts believe Africa, with its expansive base of newly minted consumers, may very well be on the verge of becoming the next India, thanks to frenetic urbanization and the sort of big push in services and infrastructure that transformed the Asian subcontinent 15 years ago. Just as India once harnessed its booming population of cheap labor, Africa stands to gain by the rapid growth of its big cities. Already the continent boasts the world's highest rate of urbanization, which jump-starts growth through industrialization and economies of scale. Today only a third of Africa's population lives in cities, but that segment accounts for 80 percent of total GDP, according to the U.N. Centre for Human Settlements. In the next 30 years, half the continent's population will be living in cities.

Nowhere is this relationship between the consumer class and urbanization more apparent than in Lagos, Nigeria, a megalopolis of 18 million that has the anything-goes pace of a Chongqing or Mumbai. On Victoria Island, the city's commercial center, real estate is as expensive as in Manhattan. Everywhere you look, there is construction: luxury condos, office buildings, roads, even a brand-new city nearby being dredged from the sea that will hold half a million people. "Everything is in short supply, so everything's a high-growth area," explains Adedotun Sulaiman, a venture capitalist and chairman of Accenture in Nigeria. "In terms of opportunities, it's just mind-blowing." Aliko Dangote, Africa's richest black entrepreneur, has also cashed in on this consumer culture, with a net worth of $2.5 billion, according to Forbes. His empire, which began in 1978 as a trading business that imported, among other things, baby food, cement, and frozen fish, is focused on Nigeria's burgeoning domestic growth, producing cement for shopping and office complexes; renting luxury condos; making noodles, flour, and sugar; and now expanding into services such as 3G mobile networks and transportation. "There's nowhere you can make money like in Nigeria," says the 53-year-old Dangote. "It's the world's best-kept secret."

Not anymore. A recent study by Oxford economist Paul Collier of all 954 publicly traded African companies operating between 2000 and 2007 found that their annual return on capital was on average 65 percent higher than those of similar firms in China, India, Vietnam, or Indonesia because labor costs are skyrocketing in Asia. Their median profit margin, 11 percent, was also higher than in Asia or South America. African mobile operators, for instance, showed the highest profit margins in the industry worldwide. As a result, foreign multinationals like Unilever, Nestlé, and Swissport International report some of their highest growth in Africa. So even as foreign direct investment fell by 20 percent worldwide in 2008, capital in-flows to Africa actually jumped 16 percent, to $61.9 billion, its highest level ever, according to a report by the Organization for Economic Cooperation and Development. Even Chinese companies are thinking of outsourcing basic manufacturing to Africa. The World Bank is now helping China set up an industrial zone in Ethiopia, the first of perhaps several offshore centers akin to the sprawling free-trade zones that opened up China's economy in the 1980s.

Still, Africa remains at the very frontier of emerging markets. Despite its gains, the difficulty and cost of running a business there are the highest in the world, according to data from the International Monetary Fund. Couple that with pervasive corruption—Transparency International calls the problem "rampant" in 36 of 53 African states—and it's no wonder Africa is often regarded as a toxic place to operate. But World Bank president Robert Zoellick says that in the aftermath of the economic crisis, long-term investors have recognized that "developed markets have big risks too." Like China and India, Africa is exploiting that fact, and perhaps more than any other region it is illustrative of a new world order in which the poorest nations will still find ways to steam ahead.
story by Jerry Guo NEWSWEEK

Friday, February 19, 2010

MEMORIAL MATCH FOR OUR BROTHER IMRAN MTUI.

TASABA INAWAALIKA KATIKA "IMRAN DAY" KWA AJILI YA KUMUENZI MAREHEMU KAKA YETU IMRAN MTUI.SIKU HII ILIYOANDALIWA NA WATANZANIA WA MYSORE NA BANGALORE ITAHUSISHA MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU PAMOJA NAKIKAPU KATI YA TIMU ZA WATANZANIA WA MYSORE NA BANGALORE SIKU YA JUMAPILI TAREHE 21 FEBRUARI 2010.GHARAMA ZA USAFIRI KWENDA MYSORE NI RUPIA 300.KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA ABDALLAH ABUBAKAR-MINISTER OF SPORT TASABA PHONE NO:9008772650.

ON FRIDAY 26th FEBRUARY AT GARDEN CITY THE BIGGEST INTERNATIONAL STUDENTS EVENT.

"IF YOU WANT TO PARTICIPATE IN ANY OF THE EVENTS MENTIONED BELLOW AS A GROUP OR AN INDIVIDUAL WE WILL BE VERY PLEASED TO HAVE A PARTICIPANT TO REPRESENT OUR COUNTRY TANZANIA CONTACT ANASE STEPHEN PHONE NO:9986432344"

GARDENIA INTERNATIONALE – CONFLUENCE 2010
DATE: 26/02/2010
TIME: 10:00AM- 8:30PM
VENNUE: GARDEN CITY COLLEGE (16TH KM, OLD MADRAS ROAD)

EVENTS:

SOLO (INDIVIDUAL) SONTESTS

Best contemporary dance
Gardenia international – best dressed Male and Female
Letter writing contest - you have got mail
Culinaire - cooking competition
Zoom- documentary contest

GROUP EVENTS

Best contemporary dance
Best ethnic/ folk dance
Best ethnic wear ( innovative fashion show)

EXHIBITIONS

Photo exhibition
My sovereign territory - country stalls
Food festival

AWARDS

Garden city global leadership award
Athithi Devo Bhava – outstanding achievers in diverse disciplines
Gardenia Internationale – GCC best outgoing International student
Recognition - Federation of International Students Associations, Bangalore ( FISA-B)
Country student Associations

EVENING CULTURAL EXTRAVAGANZA BY GCC STUDENTS ,
SPECIAL APPEARANCES,

Winners in each of the contests
GCC roll ‘4’ soul dance Academy
Rwanda student’s Association – Karnataka ( RSA-K)
Federation of International Student Associations, Mysore (FISA – M)
Kenya student’s Association, Mysore (KSA – M)
Just shake Mongolian Student’s Dance Troupe

Saturday, February 13, 2010

DO WE DESERVE TO BE WHERE WE ARE NOW?

ECONOMY
Tanzania economy profile
GDP: US$ 11.6bn (2006 est.)
GDP per capitaL: US$ 303
GDP Growth: 5.8% (2006 est.), 7.3% (2007 IMF proj.), 7.6% (2008 IMF proj.)
GDP - composition by sector: agriculture: 43.3% industry: 17.7% services: 39% (2006 est.)
Inflation: 6.1% (2006 est.)
Major economic sectors: agriculture, financial and business services, trade and tourism, manufacturing.
Major trading partners: UK, South Africa India, Japan, China, Kenya, and the UAE.
Currency: Tanzanian Shilling (TZS)

Evaluating the economy of the country it is not a simple task.But there are lot of things which make me wonder if we deserve to be where we are now.If you look on our trading partners and our sources of income you can see we have every reason to develop in a tremendous speed.Some countries they are depending on only one source of income lets say Tourism and still they manage to be more developed compared to us.I took it as the challenge to our government and Tanzanians in general.It is almost fifty years since we got our independence we expect changes in our economy and our living standard in general.The ability to invest properly with wright strategies is the only success of our trading partners.I believe if India and China they are the emerging giant in the world economy then our country can at least be the emerging giant in the African economy in few years to come.

PROFFESIONALS NEED A PROFFESIONAL SOCIAL NETWORKING SITE

The Importance of LinkedIn Groups
If you're new here, you may want to subscribe to my RSS feed. Thanks for visiting!
Listen to this article. Powered by Odiogo.com

Social networking is all about connecting with people that you know and expanding your connections from there based on the connections of your connected contacts. As you continue using the many social networking services available, your network should expand making it a great way to keep in touch with people from now on.

Of course, you won’t end up connecting with every possible person including the ones that you don’t know because that would defeat the point. But this doesn’t mean that the people that you are not connected with shouldn’t have any channel of interaction. This is where the idea of groups came in and many social networking sites including LinkedIn implemented it as a standard feature.

Groups are there to gather people based on the name, theme, or description of the group. For instance, it can bring people with similar interests together or people coming from the same country or area. This gives new opportunities for people to establish new connections and learn new things.

While it is highly encouraged to add people that you know and trust in LinkedIn, joining LinkedIn groups can benefit you in a lot of ways. Here are some ways on how LinkedIn groups can be beneficial to you.

Engage in Rich and Professional Discussions with Others


“Others” can refer to people who have the same interests with you or have the similar careers with you. You can share experiences in that group for others to learn and you can read what the other members have to say. If you are working abroad in a place that you are not so familiar with, you can always find a group where there are professionals nearby that you can connect with in the future.

Find Good Opportunities for Partnerships

Forging partnerships with the right people or companies can yield fantastic benefits for both sides. They can also bring considerable damage to both sides if the wrong partners are chosen. Joining a group that has professionals that are in the same field can reduce the likelihood of partnering with the wrong people especially if you and the other group members have their profiles filled up. The more groups you join, the more options you can weigh in so you can find the perfect business partner.

Great Place to Post or Look for Job Openings


There are plenty places that allow you to post job openings or give you leads on where you can find good ones. But among the ones you are exactly looking for are many jobs that might not appeal to you. Groups help sort these out by restricting job postings according to the group standards so all of the members can find something useful. If you post a job opening in an active group, you are sure to get more interested people since they are most probably waiting for updates in that group. Any other people that share job openings will likely attract you as well.

There are many groups in LinkedIn right now and you can even make your own so you can gather your connections to come up with something interesting. Joining LinkedIn groups greatly brings you deeper into the network.

Sunday, February 7, 2010

WHEN YOUR CAREER IS ON FIRE..........................

The case of Jerry Muro ...........................

TANGAZO LA MSIBA

Dada Aminata wa Acharya amefiwa na baba yake mzazi.Amesafiri leo kuelekea hyderabad ambako atakutana na mdogo wake tayari kuelekea nyumbani Tanzania kwa mazishi.Uongozi wa TASABA chini ya Rais Fidelis Msomekela unatoa pole kwa wafiwa na kuwaahidi ya kwamba tupo pamoja nao kipindi hiki cha msiba.Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amina.
address ya mfiwa ya India ni
#18
sapthagiri Nilaya,
Sampangi,
Ramaiah Layout,
Hessargata Road,
Bangalore 560073,
India.

HASHEEM A LESSON TO LEARN............


Hasheem Thabeet was born on February 16, 1987 in Dar es Salaam, Tanzania is a Tanzanian professional basketball player with Memphis Grizzlies of the National Basketball Association. He was drafted with the 2nd overall pick by the Grizzlies in the 2009 NBA Draft after playing with the Connecticut Huskies. At 7 ft 3 in (2.21 m) and 263 lb (119 kg), Thabeet was the tallest player ever to play for the Huskies.He did not begin to play basketball until the age of 15, when he began to watch pickup games in Tanzania.
The salary of Hashim Thabeet is expected to be around $4,458,840 US dollars.Hashim has suffered a lot before becoming a professional basketball players like other talented Tanzanians he was not recognized in Tanzania until he was recognized abroad.
We believe there are lot of professionals in Tanzania but due to lack of support and commitment of sports organisations and government in general their professions has been buried on ground.
Having professionals like Hashim abroad will help our country to create new opportunities outside our borders.Best of luck Hashim in your career.May God make you to be the shining star of our country Tanzania.

FEDHA ZA EPA.


Mpaka sasa hivi serikali imefanikiwa kuokoa kiasi cha fedha kipatacho bilioni 72 za kitanzania kutoka kwenye matumizi mabaya ya Benki kuu ya Tanzania kutoka kwenye kitengo cha Tanzania's External Payments Arrears(EPA)AMBAPO bilioni 19 kati ya hizo zilipatikana baadae.
Waziri wa wizara ya fedha na uchumi Mh.Mustafa Mkulo alisema kwamba bilioni 72 hizo ni kati ya zile bilioni 133 ambazo zilitumika kwa matumizi mabaya.
Wadau mabalimbali wameomba fedha hizi zitumike kwa ajili ya mipango endelevu ya nchi yetu na pia kuomba serikali kuwa makini ili zisije zikatumika vibaya tena na kusababisha turudi tilipokuwa mwanzo.
Matumizi mabaya ya fedha ambayo yanaambatana na uzembe na ubinafsi wa watu wachache umekua ukiweka nchi yetu kwenye hali ngumu kiuchumi ukilinganisha na nchi nyingine za dunia ya tatu zinazojaribu kujikomboa kiuchumi.
Wadau wameomba serikali kuwa waangarifu na mikataba wanayofanya isije ikaiweka nchi katika matatizo na kusisitiza kwamba waliohusika na matumizi hayo mabaya ya fedha wachukuliwe hatua za kisheria.

THE DAY ROONEY ENTER IN THE LIST OF MANCHESTER LEGENDS WHO HAVE SCORED FOUR GOALS IN A SINGLE MATCH

Rooney manage to score four goals in one watch has enabled him to enter into the list of great Manchester united legends such as Ruud van Nistelrooy and George Best who were able to score four goals in one match

Saturday, February 6, 2010

WATANZANIA WA BANGALORE

HABARI KAMILI KUTOKA KWA RAIS WA TASABA KUHUSU HALI ILIVYO KWA SASA
BANGALORE – INDIA

Ndugu wanajumuiya wa TASABA, waTanzania wote kwa ujumla muishio India na mahali kwingine kote. Kutokana na kifo cha mwenzetu marehemu Imran Mtui kumekuwa na habari nyingi za kizushi. Taarifa kamili kuhusu chanzo cha kifo cha marehemu Imran Mtui kama tulivyoipata kutoka kwa vyombo vya dola hapo awali haina mabadiliko yoyote yale mapaka sasa. Kumekuwa na habari za kizushi zinazosambazwa kwa njia ya ujumbe mfupi kupitia simu za mkoni kuwa kuna raia wengine wawili kutoka Ivory cost wamekutwa wamekufa na habari hii ni ya uongo. Mimi binafsi nimeongea na Rais wa jumuiya ya waIVORY COST amekanusha juu ya habari hiyo ambayo imezagaa sana katika mji huu wa Bangalore-India. Naomba tuache habari hizi za kizushi kwani watu wanazipokea tofauti na wengine wanazitumia kama njia ya kujipatia fedha. Naomba tukumbuke kuwa kusambaza habari kama hizi za kizushi hapo baadae zitatupa shida sana kwani tunajijengea mazingira magumu sisi wenyewe. Habari za kizushi kama hizi zinachafua usalama wa nchi husika na kuiletea sifa mbaya kote duniani. Habari kama hizi zitazidisha chuki miongoni kwetu na wenyeji.Mambo mengi ambayo si taarifa rasmi yameandikwa na magazeti ya Tanzania na India kuhusiana na marehemu,tafadhali muacheni ndugu yetu apumzike kwa amani.Wakati huohuo nilikua ninawaomba tuwe watulivu tusubiri tamko rasmi toka ubalozi kuhusu chanzo kamili cha kifo cha marehemu Imran Mtui.
Fidelis Msomekela
Rais - TASABA

CHELSEA VS ARSENAL

WILL THE GUNNERS ROB THE MILLIONAIRES OF LONDON WITH THEIR GUNS..........
SUNDAY 7TH OF FEBRUARY 2010,16:00 UK TIME

THE MEETING OF THE LEGENDS OF PREMIER LEAGUE......................

TAARIFA YA MSIBA

Dada Mariestella Luis anayesoma Chirst University second year Bachelor of Accounts amefiwa na baba yake mzazi na ameshasafiri kurudi Dar-es-Salaam Tanzania usiku wa kuamkia leo.Mungu ailaza roho ya marehemu mahali pema peponi amina.
Mahali:
koramangala,
Balaji Nagar,
Bangalore-78,
India.

Friday, February 5, 2010

YALIYOJIRI KWENYE MSIBA WA IMRANI MTUI DAR ES SALAAM

Wanafamilia kwenye majonzi makubwa..........

Ndugu jamaa na marafiki wa marehemu wakipakiza jeneza la marehemu kwenye gari.

Rais mstaafu wa TASABA Baraka Kange akitoa risala fupi ya marehemu.........

Thursday, February 4, 2010

watanzania wa bangalore ndani ya uhuzuni mkubwa siku ya kusafirishwa kaka Imran Mtui

Wednesday, February 3, 2010

RIPOTI RASMI YA KIFO CHA BWANA “IMRAN MTUI”

Mnamo siku ya jumapili ya tarehe 31/01/2010, majira ya 9:30 alasiri uongozi wa wanafunzi waishio Bangalore India (TASABA) tulipokea taarifa ya kusikitisha kutoka kwa ndugu wa karibu wa marehemu kuwa kaka yetu mpendwa IMRAN MTUI kuwa tena duniani.
Mnamo majira ya saa tatu usiku mwenyekiti wa jumuiya ya wanafunzi waishio Bangalore (TASABA) Mh. Fidelis Msomekela aliwasiliana na ubalozi wa Tanzania New Delhi kuwafahamisha juu ya msiba wa mpendwa kaka yetu marehemu IMRAN MTUI.
Tarehe 1/02/2010 ofisi ya Ubalozi ilituma mwakilishi wake anayesimamia maswala ya wanafunzi India ili kusaidiana na serikali ya wanafunzi waishio Bangalore kujua chanzo zaidi juu ya kifo cha marehemu Imran Mtui.
Tarehe 2/01/2010, Mwakilishi wa ubalozi pamoja a mwenyekiti wa jumuiya ya wanafunzi Bangalore (TASABA) walifika katika kituo cha polisi kiitwacho ‘Cantonment Railway Police’ ili kupata ripoti kamili juu ya chanzo cha kifo cha marehu Imran Mtui. Ripoti ya polisi ilieleza kuwa mnamo majira ya saa 3:35 asubuhi mkaguzi wa reli alitoa taarifa kwa msismamizi mkuu wa reli kuwa ameona mwili wa marehemu IMRAN MTUI pembeni ya reli K.M No. 339/700-800 karibu na KRISHNARAJAPURAM LOCO SHED (MAHADEVAPUR, BANGALORE).
Taarifa za awali za polisi zinaeleza kuwa chanzo cha kifo cha marehemu Imran Mtui ni Ajali ya kawaida, uchunguzi zaidi unaendelea ili kujua chanzo kamili cha kifo cha ndugu yetu marehemu IMRAN MTUI.
Taratibu zote za kusafirisha mwili wa marehemu IMRAN MTUI zimekamilika, kesho (3/01/2010) majira ya jioni, mwili wa marehemu IMRAN MTUI utasafirishwa kuelekea nyumbani Tanzania kupitia kampuni la shirika la ndege la Emirates mpaka Dar es Salaam na baadae kusfirishwa kuelekea Killimanjaro kwa mazishi.
Uongozi wa Jumuiya ya wanafunzi waishio Bangalore (TASABA) unatoa shukrani za dhati kwa ubalozi wa Tanzania New Delhi kwa ushirikiano na msaada mkubwa walioutoa ili kufanikisha taratibu zote za kisheria na kutoa usafiri wa kumsafirisha ndugu yetu maarehemu IMRAN MTUI mpaka nyumbani kwao Kilimanjaro. Pia uongozi wa Jumuiya ya wanafunzi waishio Bangalore (TASABA), unatoa shukrani za dhati kwa wale wote walioungana na familia ya ndugu yetu mpendwa marehemu IMRAN MTUI kwa hali na mali.
Jumuiya ya wanafunzi waishio Bangalore (TASABA),unaomba wanajumuiya wote kuwa watulivu na kuacha kutoa habari za kizushi juu ya kifo cha marehemu IMRAN MTUI kwa kuwa uchunguzi zaidi bado unaendelea na mpaka sasa hakuna mtuhumiwa yoyote Yule anaye shutumiwa au kushikiliwa na polisi juu ya kifo hicho.
Uongozi wa wanafunzi waishio Bangalore (TASABA) unatoa pole kwa familia ya marehemu IMRAN MTUI. Mungu aiweke mahali pema peponi roho ya ndugu yetu mpendwa marehemu IMRAN MTUI. Amin
Fidelis Msomekela
President – TASABA
03/02/2010

Tuesday, February 2, 2010

TANGAZO

TAARIFA KAMILI YA KAMATI YA KUFUATILIA MSIBA WA KAKA YETU IMRAN MTUI CHINI RAIS WA TASABA NA MUWAKILISHI WA UBALOZI MR.AMON MWAMANENGE ITATOLEWA BAADAE USIKU HUU.TAARIFA ITAHUSISHA TAARIFA ZILIZOTOLEWA NA POLISI,HOSPITALI NA KAMPUNI YA RELI KUHUSU KIFO CHA KAKA YETU IMRAN MTUI.TUNAOMBA RADHI KWA KUCHELEWESHWA KWA TAARIFA KWANI TULIKUA HATUWEZI KUZUNGUMZA LOLOTE MPAKA TUPATE RIPOTI RASMI YA KAMATI HII AMBAYO IMECHELEWA KUTOKANA NA SABABU ZILIZO NJE YA UWEZO WAO.TUNAKUMBUSHA YA KWAMBA TUSINGEWEZA KUANDIKA TETESI TULIZO SIKIA KUHUSIANA NA MSIBA HUU KWANI ZILIKUA NI TAARIFA ZISIZO RASMI.

TASABA SPOKESMAN
JUMANNE MTAMBALIKE

TAARIFA YA MSIBA


UONGOZI WA TASABA CHINI YA RAIS FIDELIS MSOMEKELA KWA MASIKITIKO MAKUBWA UNATANGAZA MSIBA WA KAKA YETU IMRAN MTUI ULIOTOKEA USIKU WA KUAMKIA TAREHE 31 JANUARI.UONGOZI WA TASABA UKISHIRIKIANA NA MJUMBE WA UBALOZI WA TANZANIA INDIA WANAFUATILIA TARATIBU ZOTE ZA MSIBA.KWA TAARIFA ZAIDI WASILIANA NA VIONGOZI WA TASABA NAMBA ZAO A SIMU ZIPO KWENYE KICHWA CHA UKURASA HUU.MUHESHIMIWA RAIS FIDELIS AMEWAOMBA WATANZANIA KUWA WATULIVU MUDA HUU WA MSIBA NA KUSHIRIKIANA KWA PAMOJA KUHAKIKISHA TUNAMALIZA MSIBA HUU SALAMA.MSIBA HUPO KWA DADA HAKIKA
ADDRESS
3RD FLOOR
1ST MAIN
GOPALA REDDY LAYOUT
BANASWADI
BANGALORE-78
INDIA

MUNGU AILAZE ROHOYA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI AMINA.