Ads 468x60px

Pages

Tuesday, January 18, 2011

GRADUATION COMMITTEE.

This weekend there is going to be a meeting of TASABA leaders and Graduates to form the graduation committee the meeting is going to be at kamanahali Indo- Asian academy college for more information contact TASABA leaders.The participation in the graduation committee is going to be limited only to the people who have attended this first meeting.
Jumanne Mtambalike
9901837490

Wednesday, January 12, 2011

SALAMU ZA SIKUKUU YA MAPINDUZI TOKA KWA UONGOZI TASABA.

Uongozi wa TASABA chini ya mwenyekiti Jumanne Rajabu Mtambalike unawatakia wanajumuiya pamoja na waTanzania wote kwa ujumla ulimwengu mzima kheri ya sikukuu ya mapinduzi.Uongozi unapenda tuma salamu hizi kwa serikali ya jamhuri ya muungano ya Tanzania chini ya Mh.Rais Jakaya Mrisho Kikwete na serikali ya mapinduzi ya Zanzibar chini ya Mh. Rais Ali Mohamed Shein na kuwatakia sikukuu yenye kheri nyingi na fanaka.
Uongozi TASABA unawakumbusha wanajumuiya siku kama hizi ni muhimu kukumbuka wahasisi wa taifa letu na juhudi zao walizofanya za kuiweka nchi yetu mahali hilipo sasa.Ni Muhimu kwetu sisi kama wanajumuiya kujifunza kutokana nao na kupata dhana ya uzalendo kwenye mioyo yao.Mungu Ibariki Tanzania ,Mungu ibariki TASABA.

Wednesday, January 5, 2011

TANGAZO

Uongozi wa Jumuiya ya wanafunzi wa kiTanzania waishio Bangalore unawataarifu waTanzania wote waishio Bangalore kuwa kuna waTanzania wenzetu wagonjwa wamekuja kutibiwa hospitali ya Appolo Bannergatha road (Bangalore) ni vizuri kuwatembelea na kuwajulia hali na wengine wapo njiani wanakuja. Kwa maelezo zaidi wasilianeni na kiongozi wa Acharya (TASAA) Hamisi Fupi (8971863126)

Monday, January 3, 2011

SALAMU ZA POLE TOKA BANGALORE.

Uongozi wa Jumuiya ya wanafuzi wa kiTanzania waishio Bangalore unatoa salamu za pole kwa ndugu zetu wa Hyderabad, kutokana na msiba wa mwenzetu Shakil Hamdoum uliotokea jana huko Hyderabad.Mwenyezi Mungu awasaidie muwe na mshikamano katika wakati huu mgumu na tunawakumbusha tupo pamoja katika kuomboleza msiba wa mwenzetu.Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali peama peponi Amina.

Tanzanian student found dead in Hyderabad

HYDERABAD: A decomposed body of a 25-year-old Tanzanian student was found in his flat at Alwal area here this morning and police suspect that the student might have committed suicide.

According to Alwal Police, the deceased identified as Shakil Hamdoum was a student of Saifabad Post Graduate College of Science, (a Constituent College of Osmania University) here.

The neighbours alerted the police after a foul smell emanated from the flat this morning. When the door was broken open, the police found the student's body in a highly decomposed state.

Alwal Inspector of Police K Srinivas Rao told PTI that the student might have died four to five days ago and suspected that he might have committed suicide after consuming some poisonous substance.

"Shakil who hailed from Tanzania was staying alone in the flat for the past 2 years and was also pursuing some part-time courses. The door was bolted from inside and the reason behind the incident was still not known. No suicide note was found from the flat," the police official said.

The body has been sent for an autopsy. Further investigations were underway.

source :Times of India


Bookmark and Share

Sunday, January 2, 2011

SALAMU ZA MWAKA MPYA TOKA KWA UONGOZI TASABA

Uongozi wa jumuiya ya wanafunzi wa kiTanzania waishio Bangalore chini ya mwenyekiti Jumanne Mtambalike, unatoa salamu za mwaka mpya kwa watanzania wote waishio India na ulimwengu mzima kwa ujumla.Jumuiya inaitakia seriali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia ubalozi wake India mwaka mpya wenye kheri na fanaka.Uongozi wa TASABA unahamini kwamba huu ni mwaka mpya hivyo basi kwa waTanzania wote nyumbani na ulimwenguni kwa ujumla hatuna budi kujipanga upya kuhakikisha taifa letu linapata maendeleo .Tunaamini kutokana juhudi za wazalendo ndani na nje ya nchi, taifa letu litafanikiwa kuyakabili matatizo mama ya nchi yetu ; ujinga,maradhi na umasikini ulio kithiri.
Tunahimiza wahitimu waliomaliza elimu zao za stashahada za juu maeneo mbalimbali ulimwenguni kurudi nyumbani kwenda kusaidia taifa letu.Mawazo mapya na elimu tuliyoipata vitasaidia kukuza kasi ya maendeleo ya taifa letu.Tuachane na tabia za kung’ang’ania kwenye nchi za watu bila shughuli za msingi wakati taaluma yetu inahitajika nyumbani.Tunayo mifano ya NRI (non- residential Indians) wanavyosaidia nchi yao kukua kiuchumi kwa kuwekeza na kufanya tafiti mabalimbali ndani ya nchi yao japokua wanaishi ugenini.Kama linawezekana kwa wenzetu na sisi pia tunaweza.Hii ni changamoto kwa wahitimu wakiTanzania sehemu yoyote ile ulimwenguni ambao wanahitimu mwaka 2011.Swala la kukaa nje ya nchi na kulaumu mfumo mzima wa utawala na uendeshaji wa nchi yetu halitosaidia lolote kama sisi wenyewe hatuko tayari kuwa chachu ya mabadiliko hayo.
Uongozi wa jumuiya unapenda kukumbusha wazazi na watu mbalimbali wanoleta vijana wao kusoma India kwamba wawe makini na tarehe za kufanya usajili wa wanafunzi kwenye vyuo mbalimbali.Mwaka jana tumekumbwa na tatizo la vijana wengi wa mwaka wa kwanza kukosa namba zao za mitihani kutokana na kuchelewa kuhudhuria vyuoni.Tatizo hili linazaa tatizo jingine kubwa ambalo ni vijana kukaa Bangalore bila shughuli za msingi hali ambayo ni hatari sana kwani mtu anakua ana viza ya mwanafunzi halafu shule haendi kutokana nakuchelewa usajili.Hali ambayo inatuweka sisi viongozi katika wakati mgumu kumsaidia huyo mtu akipata matatizo.
Uongozi unakumbusha wanajumuiya kwamba usajili wa majina yao kwa ajili ya kuyapeleka ubalozini mwisho ni tarehe 30 Januari.Uongozi unasisitiza watu kujisajiri na kuhakikisha wanapata vitambulisho vya usajili ili wapate msaada pale unapohitajika.Itasaidia pia kuweza kuwatofautisha na waafrika wengine waishio India kama kutatokea tatizo.
Tangazo la mwisho wahitimu wote wanaohitimu mwaka 2011 watume majina yao , kozi zao na vyuo wanavyosoma kwa uongozi wa TASABA kabla ya mwezi machi kwa ajili ya maandalizi ya siku ya kuhitimu.Zoezi hili lifanywe haraka hiwezekanavyo kwa ajili ya utengenezaji wa vyeti vya jumuiya.
Mungu ibariki jumuiya yetu pamoja na taifa letu kwa ujumla.
Rais TASABA: Jumanne Rajabu Mtambalike

HAPPY NEW YEAR 2011

ACHARYA STUDENTS ASSOCIATION




Wanafunzi wa Jumuiya ya waTanzania waishio Acharya washerekea mwaka mpya kwa kuwatembelea wagonjwa wa moyo walioletwa Bangalore kwa matibabu.

MOMENTS TO REMEMBER IN 2010

THE INDEPENDENCE DAY 2010

The masterminds behind the great event of the year from the left Vice President:Anase Stephen,President: Jumanne Mtambalike, Treasurer: Vince Nkini and Amiri Hassan Senior.

THE ELECTION DAY 2010

Mr.Joseph Nanyaro showing sign of appreciation to the elected president of the association Mr.Jumanne Mtambalike few minutes after the results where announced.



Mr.Jumanne Mtambalike supporters together with their newly elected President of the
association.

THE CONTRADICTING STORY OF THE BANGALORE UNIVERSITY
EXAMS VENUE.


It was the most scary moment of 2010 where by every foreign student was not sure about his/her fate.The announcement from the Bangalore university confused everyone and we were not sure if we are going to do our exams at our centers or to the centers allocated by the University but thank God things go well.Congratulation to all communities leaders and the board of Bangalore University for terminating the idea.Also TASABA would like to recognize and appreciate all those who were keeping us posted about the issue and sending us informations all the time.