Ads 468x60px

Pages

Saturday, October 23, 2010

Tangazo la ajali

TASABA ina huzun kubwa kuwatangazia, ndugu Juvenalis Malai amepata ajali ya pikipiki na kuvunjika mguu mara 2,kafanyiwa upasuaji mchana na kuendelea kulazwa hospitali ya Shre Vijayalakshmi, mbele ya Hennur kama waelekea Gubi.
Wanajumuiya twaomba tushirikiane kwa hili na kumkumbuka katika sala.
wizara ya habari

0 comments:

Post a Comment