
Friday, June 10, 2011
Iran yapaga kulianzisha tifu tifu FIFA
Iran imepanga kufungua kesi Fifa kupinga uamuzi wa timu yao ya wanawake kunyimwa kucheza mchezo wao dhidhi ya Jordan na timu yao pinzani Jordan kupewa ushindi wa goli 3 - 0 mara baada ya Iran kunyimwa kuingia uwanjani kutoka na jezi zao zenye kufunika mwili mzima na zenye Hijab kichwani


0 comments:
Post a Comment