Ads 468x60px

Pages

Friday, June 10, 2011

Iran yapaga kulianzisha tifu tifu FIFA

Iran imepanga kufungua kesi Fifa kupinga uamuzi wa timu yao ya wanawake kunyimwa kucheza mchezo wao dhidhi ya Jordan na timu yao pinzani Jordan kupewa ushindi wa goli 3 - 0 mara baada ya Iran kunyimwa kuingia uwanjani kutoka na jezi zao zenye kufunika mwili mzima na zenye Hijab kichwani










Wachezaji wa Iran wakiwa mazoezini....soka linaendelea kama kawaida







0 comments:

Post a Comment