
Friday, June 10, 2011
Kikao cha Pili cha Mkutano wa nne wa Bunge la Jamhuri wa Muungano Tanzania
Vikao bado vinaendelea na ajenda kuu ni kujadiliana juu ya budget ya Tanzania kwa mwaka wa fedha wa 2011 - 2012 na kuipitsha.
Waziri wa Fedha Mh. Mustapha Mkullo akiwasili bungeni kusoma budget ya 2011 - 2012
Waheshmiwa wabunge pamoja na waziri mkuu mheshimiwa Mizengo Pinda wakiteta mambo mawili matatu.

0 comments:
Post a Comment