
Friday, June 10, 2011
Mwanamuziki Ja Rule aanza kutumikia kifungo chake
Mwanamuziki mwenye umri wa miaka 35 "Jarule" ameanza kutumikia kifungo chake mara baada ya kuhukumiwa kufungwa jela kwa mia miwili katika kesi ya kutumia silaha na alijisalimisha mwenyewe huku akiwa anatarajiwa tumikia kipindi cha miezi 18 hadi 20 pindi atakapotumikia vyema.
Twende Twendeeee

0 comments:
Post a Comment