Ads 468x60px

Pages

Thursday, February 17, 2011

ULIPUKAJI WA MABOMU DAR ES SALAAM




Uongozi wa TASABA unasikitika kuwataarifu ya kuwa kuna habari za kusikitisha za ulipukaji wa mabomu katika army base ya gongo la mboto, Dar es salaam..
Tunawaombeni muwasiliane na watu wenu wa karibu nyumbani ili kujua hali ya usalama wa familia,ndugu na jamaa zenu nyumbani Tanzania na pia tuwe watulivu na kuzidisha umoja na kuiombea nchi yetu, hasa katika kipindi hiki kigumu..

Mungu ibariki TASABA..
Mungu ibariki Tanzania..
Mungu ibariki Africa..

0 comments:

Post a Comment