Ads 468x60px

Pages

Tuesday, October 26, 2010

Uchaguzi wa Federation of International Students Association - Bangalore

Uchaguzi wa Federation of International Students Association - Bangalore [FISA-B] utafanyika ijumaa hii tarehe 29-10-2010,yeyote anayehitaji kugombania nafasi yoyote (Urais,Katibu,Mweka hazina au mmoja wa wajumbe wakuu)awasiliane na Rais wa TASABA au Makamu wa rais jumatano hii kuaniza saa kumi na mbili jion.
Wizara ya habari

0 comments:

Post a Comment