Ads 468x60px

Pages

Tuesday, March 2, 2010

SHUKRANI TOKA TASABA.

Uongozi wa TASABA chini ya Rais Fidelis Msomekela kupitia wizara ya jamii na utamaduni unatoa shukrani kwa waTanzania waliojitokeza na kuiwakilisha nchi yetu siku ya nchi za kimataifa katika chuo cha Garden City Bangalore.Tunashukuru kwa kulifanya banda letu la wa Tanzania kuwa ndio banda bora pamoja na kutuwakilisha katika kuonyesha mavazi mabalimbali ya asili ya taifa letu.Pia shukrani rasmi zimuendee waziri Mushobozi Baitani kwa kupata cheti baada ya kushinda nafasi ya kwanza kama mchezaji bora wa ngoma ya asili.

0 comments:

Post a Comment