Ads 468x60px

Pages

Monday, March 8, 2010

YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO WA TASABA KUHUSU MAANDALIZI YA SHUGHULI YA WAHITIMU.


Siku ya jumamosi uongozi wa TASABA ulikutana na wahitimu ili kuandaa sherehe ya wahitimu ya mwaka 2009-2010 mambo mengi yalizungumziwa ikiwemo na kuandaa kamati kuu itakayo shughulikia shughuli hii.Kamati imefikia maamuzi ya kufanya shughuli hiyo siku ya tarehe 17 aprili 2010 katika ukumbi wa hoteli ya "The club".Mpaka kikao kinaisha kamati ilikua imeshaanza taratibu za kumtafuta mgeni rasmi na kutafuta taarifa na idadi rasmi za wahitimu ili kuwaandalia vyeti na kutengeneza bajeti ya shughuli.Mchango na mawazo ya wahitimu ni muhimu sana kuhusiana na shughuli hii. Kwa michango au mawazo nenda "TASABA group Facebook" au wasiliana na msemaji TASABA (9901837490).

0 comments:

Post a Comment