Ads 468x60px

Pages

Tuesday, April 5, 2011

Taarifa za Msiba

UONGOZI TASABA, unasikitika kutangaza habari za msiba wa mama yake Christine Mazula, msiba ulikwepo nyumbani kwa mfiwa Horamavu, na Mfiwa ameondoka usiku wa leo kuelekea nyumbani Tanzania kwa maziko.

BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE!!!

0 comments:

Post a Comment