Ads 468x60px

Pages

Wednesday, April 6, 2011

Mkutano wa Bunge la jamhuri ya Muungano ya Tanzania waanza leo

Spika wa Bunge Mh. akiingia bungeni kuashiria kufunguliwa kwa vikao vya bunge...

Bunge letu la jamhuri ya Muungano ya Tanzania likiwa na wabunge wengi kiasi

Spika wa Bunge akiteta hoja

Waziri Mkuu, Mh. Mizengo Pinda akiteta jambo na waziri ofisi ya rais, utawala Mh. Mathias Chikawe

0 comments:

Post a Comment