Ads 468x60px

Pages

Wednesday, November 4, 2009

MAJINA YA VIONGOZI WAPYA WA TASABA

Ndugu watanzania majina ya viongozi wetu wapya yametoka,Hivyo basi tunahitaji ushirikiano wenu katika kuwatambua viongozi hawa, na kuhakikisha tunashirikiana nao kwa namna mmoja au nyingine ili tuweze kufikia malengo yetu.Mungu ibariki TASABA, Mungu ibariki Tanzania.
spokesman
JUMANNE MTAMBALIKE.


(TASABA) BARAZA LA MAWAZIRI

WIZARA YA UTAMADUNI
Mercy Morland - Waziri
Mwamini Makongoro – Naibu waziri

WIZARA YA MAHUSIANO YA KIJUMUIYA
Deogratias Asael - Waziri
Ernest Mutatembwa – Naibu waziri

WIZARA YA MICHEZO
Abdallah Aboubakar - Waziri
Esther Bgoya – Naibu waziri

WIZARA YA HABARI NA MAMBO YA NJE
Jessica Gonsalves - Waziri
Ahobokile Mwakyusa – Naibu waziri

WIZARA NIDHAMU NA MAADILI
Simon Nguma - Waziri
Alice Kazoba – Naibu waziri

WIZARA YA ELIMU
Mushobozi Baitani - Waziri
Anase Stephen – Naibu waziri

WASAIDIZI WA HAZINA
Hartman Msaki – Afisa mwandamizi
Olais Alexander – Afisa mwandamizi



VIONGOZI WA VITONGOJI

1. TC PALLYA: Anase Stephen

2. BANASHANKAR: Nuru Omary

3. HENNUR: Ali Othman Mohamed

5. BANASAWADI: Suesan Odrianp

6. ACHARYA: Charles Kanimba

7. BUPSANDRA: Kaijunga

8. INDIRANAGAR: Aneth

9. KAMMANAHALLI: Amir Hassan

0 comments:

Post a Comment