Ads 468x60px

Pages

Sunday, January 3, 2010

MAZISHI YA SIMBA WA VITA


Rais Jakaya Kikwete akiwa ameshikilia jembe kwenye mazishi ya aliyekua waziri mkuu wa Tanzania hayati Mzee Rashidi Mfaume Kawawa,aliyefariki siku ya alhamisi asubuhi ambaye amezikwa kijijini kwake Madela Dar es salaam.Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amina.

0 comments:

Post a Comment