Ads 468x60px

Pages

Monday, January 4, 2010

MTANANGE WA KUKATA NA SHOKA NDANI YA BANGALORE





Yale mashindano ya timu mbalimbali za mataifa mbalimbali Bangalore ambayo yanaandaliwa na tasaba yanategemea kuanza.Akizungumza hayo mheshimiwa Rais ameomba watanzania wote waishio Bangalore wajitokeze kwa wingi kuishangilia timu yao wakati ikiwa mashindanoni.
Mashindano yanategemewa kuanza mwezi huu ingawa siku rasmi bado haijatajwa.

0 comments:

Post a Comment