Ads 468x60px

Pages

Monday, February 21, 2011

MAKABIDHIANO YA VIFAA NA KIKAO CHA MWISHO NA MAKAPTENI WA NCHI ZOTE..


Mwenyekiti wa U.A.C.B bwana Jimmy akionyesha mfano wa jezi mojawapo jinsi zilivyoandikwa kwa mbele na kwa nyuma zitakua zimeandikwa jina la nchi.


Ndugu Khalidi naye akaona ni vyema walau aone quality ya jezi zetu na kuziwekea Baraka zilete ushindi tu


Hawa ndio hawawezi kukosa na ndio vibonde wetu tutakao fungua nao dimba siku ya jumamosi, kwa jinsi tukijuavyo kikosi chetu maridadi, lazima wa Ivory Coast watukome siku hiyo Uwanjani CHENGA WATAZILA na MABAO vile vile nayo WATAYALA tu WAPENDE WASIPENDE!!!
Macaptain wa timu zingine kama Uganda, Nigeria, Congo na Cameroon wakifuatilia kikao


Macaptain wa timu zingine kama Uganda, Nigeria, Congo na Cameroon wakifuatilia kikao


Mkuu wa Nidhamu wa timu yetu ya WA TANZANIA na mweka Hadhina wa U.A.C. B ndugu William akifuatilia kwa umakini mkubwa muendelezo wa kikao hicho pamoja na wawakilishi kutoka nchi zingine.



Nigeria nao wakaja


Congo wakafuatia


Haya sasa timu na uongozi mzima wa timu, mtake na kupewa nini tenaaaa?vifaa ndio hivyoo vimepatikana, sie waTanzania twataka MTUPE RAHA TUU!!!

Mungu ibariki TASABA,
Mungu ibariki TANZANIA...

0 comments:

Post a Comment