Ads 468x60px

Pages

Thursday, February 17, 2011

WATU WATAKIWA NA KUWA WATULIVU NA KUHAMA MAENEO YA GONGO LA MBOTO NA TABATA NA KUKAA MAENEO YA WAZI


Mnadhimu mkuu wa majeshi, Tanzania Luteni Jenerali ABDURAHAMAN SHIMBO amewataka na kuwasihi waTanzania kuwa watulivu na kutulia katika maeneo yaliyo ya wazi ili kuwa katika hali ya usalama zaidi.
Pia, watu wanaoishi karibia na kambi za jeshi kuondoka katika maeneo hayo ili kuwa katika hali ya kiusalama zaidi.
Mpaka sasa hivi chanzo cha ulipukaji wa mabomu hayo yaliyoleta milio na vishindo katika jiji la Dar es salaam bado haujajulikana ila uchunguzi bado unaendelea.

UONGOZI TASABA..

0 comments:

Post a Comment