Ads 468x60px

Pages

Sunday, February 27, 2011

MATOKEO YA MECHI ZA MASHINDANO SIKU YA JUMAPILI


Cameroon 1 - 0 Uganda

*Tanzania 3 - 0 Congo

*Nigeria 3 - 0 Ivory Coast

Sudan 7 - 0 Uganda

Tanzania 1 - 2 Nigeria

Rwanda 0 - 2 Cameroon


Magoli yaliyopatikana siku ya pili ya masindano ni magoli 19
na hivyo kufikisha jumla ya magoli 27.

Mechi zote leo zilikua za ushindi zikiwemo mbili za ushindi wa mezani

* = Timu ilipewa ushindi wa mezani wa magoli matatu kwa bila mara baada ya timu pinzani kukiuka baadhi ya kanuni na masharti ya ya mashindano.

0 comments:

Post a Comment