Ads 468x60px

Pages

Monday, February 21, 2011

MATUKIO YA MECHI YA FAINALI YA FISA-B KATIKA PICHA


Uongozi Mzima wa Fisa-B ukiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi mara baada ya makabidhiano ya zawadi za washindi mara tu mechi ya fainali ilipoisha.


Washindi wa tournament ya international students ya Fisa-B wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa kikombe chao,medali,vyeti na zawadi mbali mbali.


Mchezaji bora wa Tournament nzima toka Garden City College, Ahmed toka Sudan akipokea zawadi zake pamoja na kikombe cha ushindi.


Mfungaji bora wa Tournament nzima toka Garden City College, Bakari toka Ivory Coast akipokea zawadi zake.


Captain wa timu ya Christ University na Rais wa Fisa- B, Ndugu Antonio toka Mozambique akipokea cheti chake na zawadi toka kwa mgeni rasmi huku viongozi wengine wa Fisa- B wakishuhudia.


Captain msaidizi wa timu ya Garden City College toka Tanzania ndugu Kainkwa akiongoza mazoezi ya viungo ya timu yake kabla ya mechi huku wachezaji wengine wa kitanzania ndugu Uthman ( # 3) na ndugu Abuu (# 6) wakipasha viungo moto tayari kwa mechi yao ya fainali

0 comments:

Post a Comment