Ads 468x60px

Pages

Thursday, March 17, 2011

TASABA GRADUATION CEREMONY 2011




Ndugu wahitimu wa Tanzania wa mwaka 2011 katika vyuo mbalimbali hapa Bangalore, kufuatia maombi ya baadhi ya wahitimu, tarehe ya mwisho ya kukusanya michango yenu ya Mahafali ya TASABA kwa mwaka 2011, imesogezwa mbele mpaka tarehe 19 april 2011.

Ili kufanikisha shughuli yetu hii, tunaomba ushirikiano wenu wa hali ya juu.

Tukalipie kwa aliye karibu nasi kati ya :

Vince +919731955664 - Kamanahali and Banaswadi
Vivian +919945325306 - Indranagar
Ali +919916377634- Hennur
Abbas +919739440581 - Kumaraswammy
Olaki +919916856778- Koramangala
Uthman +919916492252- TcPallya
Mazin +919886965506- Horamavu
Aldo +919742487082 - Acharya

UONGOZI TASABA

0 comments:

Post a Comment