Ads 468x60px

Pages

Thursday, March 17, 2011

This is for all our young brothers and sisters doing their final P.U.C Exams at the moment



We would like to wish you all, best of luck in your exams..

Do not panic, pray to your God and take the exams so seriously, they will be like your ladder towards reaching the goals of your life...So alongside with the exams wishes, we would like to wish you all a happy n prosperous future!!

Hakuna kulala, Tuko pamoja kimawazo na kwa sala..

ALL THE BEST!!!

UONGOZI TASABA


NB:
baada ya kazi nzito ya exams na kumaliza masomo, tukumbuke kazi huambatana na dawa, tukutane The Country Club tarehe 2 aprili kusherehekea mafanikio yenu katika Tasaba's Graduation Ceremony 2011, ambapo kwa mara ya kwanza katika historia, nanyi mwapata nafasi ya kusherehekea na wenzenu wote wamalizao masomo Bangalore.

KAZI NA DAWA!!

0 comments:

Post a Comment